CHELSEA YAENDELEZA UBABE EPL ARSENAL HOI

PREMIER LEAGUE waswahili husema biashara asubuhi jioni mahesabu lakini imekua tofauti kwa club ya Arsenal ambao leo wameshindwa tena kutamba katika dimba la Stamford Bridge inakua sasa mechi ya pili bila kupata ushindi
FULL TIME: Chelsea 3-2 Arsenal

Picha mbalimbali 
 Jinsi goli la 3 lilivyo fungwa



LihatTutupKomentar