Hatimae aongeza mkataba afunguka haya.

Klabu ya Yanga imefikia makubariano ya kuongeza mkataba wa mchezaji Matheo Anthon ili kurndelea kukitumikia kikosi hicho.


"Nashukuru viongozi wangu kwa kufanikisha zoezi hili, nina furaha kusaini mkataba mpya . .  naahidi ntarudi kivingine kabisa ntajitahidi niingie kikosi cha kwanza na kuwa msaada kwa timu yangu, ahsante mashabiki endeleeni kunipa support awamu hii ntawafurahisha."

LihatTutupKomentar