SIMBA SC WATOA TAMKO HILI KUHUSU BARAKOA ZILIZOPO MTAANI

Simba sc wakanusha biashara ya  barakoa zilizopo mtaani

"Simba SC haihusiki na barakoa zilizopo sokoni hivi sasa.

Kwa sasa tunaangalia hatua za kuchukua juu ya watengenezaji wa barakoa hzo.

Klabu inakuja na mradi mkubwa juu ya udhibiti wa matumizi ya jina letu kibiashara." 



LihatTutupKomentar