CHRISTIANO RONALDO MECHI TATU ATOKA KAPA

Cristiano Ronaldo (katikati) akimpongeza, Mario Mandzukic (kushoto) baada ya kuifungia bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kumsetia, Blaise Matuidi kufunga la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Parma Uwanja wa Ennio Tardini. Bal la Parma limefungwa na Yao Gervinho dakika ya 33
LihatTutupKomentar