HAWA HAPA WACHEZAJI 30 WA YANGA

Ukiachana na Taarifa za awali za baadhi ya wachezaji wa Yanga kutolewa kwa mkopo na wengine kuachwa baada ya mikataba kumalizika Yanga wamekuja na majina zaidi ya 30, Takribani 32 kama ndiyo Kikosi chao 2018/2019.
LihatTutupKomentar