Katika Makundi hayo Simba na Yanga zimekutana katika Kundi moja wapo kwenye Kundi C kwahiyo Tunatarajia kushuhudia Dabi nyingine ya Simba na Yanga uwanja wa Taifa Mwaka Huu kwenye Michuano ya CECAFA Kagame Cup
KUNDI A
Azam FC (Tanzania Bara)
JKU (Zanzibar)
Kator (Sudan Kusini)
Uga (Uganda).
KUNDI B
Rayon (Rwanda)
Gor Mahia (Kenya)
Ports (Djibout)
Lydia (Burundi).
KUNDI C
Yanga (Tanzania Bara)
Simba (Tanzania Bara)
Dakadaha (Somalia)
St George (Ethiopi