LIVE KUTOKA ETHIOPIA FULL TIME

FULL TIMEMchezo umemalizika.
Dk ya 91: Rostand anapewa kadi ya njano kw akupoteza muda.
Dk ya 90: Zinaongezwa dakika tatu za nyongeza.
Dk ya 89: Mashabiki wa Dicha hawaamini macho yao. Matokeo yakibaki hivi timu yao inakuwa imetolewa.
Dk ya 87: Dicha wanacheza faulo, inapigwa kuelekea kwao.
Dk ya 85: Kipa wa Yanga, Rostand kaumia, mchezo umesimama kwa muda.
Dk ya 80: Wachezaji wa Yanga wameanza kupunguza kasi ya wapinzani kwa kumiliki mpira muda mwingi.
Dk ya 76: Kipa wa Yanga anawahi mpira uliopigwa langoni kwake.
Dk ya 75: Chirwa anabaki na wlainzi wanne anashindwa kuwapita.
Dk ya 72: Mhilu anachezwa faulo, inapigwa kuelekea kwa Dicha, mchezo umesimama kwa muda.
Dk ya 70: Mchezo sasa unachezwa kibabe, muda mwingi nguvu zinatumika.Dk ya 52: Mchezo unaanza kuwa mkali.
Dk ya 50: Yanga wanapiga pasi kadhaa.
Dk ya 48: Yanga wanafika langoni mwa Dicha.
Dk ya 46: Kasi ya Dicha imepungua.
Kipindi cha pili kimeanza.
Timu zinaingia uwanjani. time
Dk ya 38: Tshishimbi anakosa nafasi ya wazi shuti lake linapaa juu ya lango.
Dk ya 36: Kasi ya wageni imepungua.
Dk ya 31: Bado matokeo ni 0-0.
Dk ya 29: Dicha wanakosa nafasi ya wazi wakiwa wao na lango, mpira unatoka
Dk ya 26: Yanga wanafanya shambulizi kali inakuwa kona.
Dk ya 26: Rostand anadaka shuti kali.
Dk ya 24: Shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini kipa Rostand anafanya kazi nzuri.
Dk ya 20: Yanga wanatulia na kupiga pasi kadhaa.
Dk ya 18: Shambulizi kali langoni mwa Yanga, wenyeji wanakosa nafasi ya wazi.
Dk ya 15 Mchezo ni mkali na wenyeji wanaongeza kasi
Dk ya 8: Yanga wanajipanga na kujibu mashambulizi.
Dk ya 3: Dicha wanashambulia kwa kasi kubwa.
Yanga wanaruhusu bao baada ya mpira wa kona kuwapita walinzi kabla ya kujaa wavuni.
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Dk ya 1. Dicha wanapata kona.
Mchezo unaanza kwa kasi.
LihatTutupKomentar