FINALI YA ASFC KUPIGWA ARUSHA

ASFC Mchezo wa Fainali Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) umepangwa kupigwa tarehe 02/06/2018.

Taarifa iliyotolewa leo na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
 imeeleza kuwa mchezo huo utapigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
LihatTutupKomentar