HISPANIA URUSI 2018 KAMA KAWAIDA

Timu ya taifav ya hispania Imebahatika kufuzu fainali za kombe la Dunia mwakani nchini Urusi,Hispania Imewafata timu ya taqifa ya Uingerezabaada ya kutoka na ushindi wa magoli 3 dhidi ya Albania,magoli hayo ya hispania yakifungwa na Rodrigo,Isco,Thiago
LihatTutupKomentar