CHELSEA WATOKA NA NIKE.

Na MWandishi Wetu.




Mabingwa wa ligi Kuu ya England (Chelsea) Wametangaza Uzi wao msimu wa 2017/2018.


Chelsea misimu miwili iliyo pita walikuwa wanatumia kampuni ya adidas


mkata wao Na kampuni ya adidas umeisha Mei mwaka huu.


Msimu wa 2017/2018 Chelsea watatumia Uzi wa kampuni ya NIKE.Ambavyo watatumia Uzi wa rangi ya Blue wakiwa katika Uwanja wao,Na Mabingwa hao wa EPL watatumia rangi nyeupe wakiwa nje ya uwanja wao.
LihatTutupKomentar