yanga yapeta ugenini Mkome Sports Jumamosi, 30 Aprili 2016 Facebook Twitter Yanga yazidi kujipatia point 3 muhimu kwenye mchezo wao wa jana,zidi ya toto african ya mwanza,badaa ya toto african,kukubali magoli 2 kwa 1,magoli ambayo yamefungwa na Amisi tambwe na lapili na Juma Abdul,nakuifanya yanga kufikisha point 65. LihatTutupKomentar Post Selanjutnya Post Sebelumnya