YANGA YAPAA KIBABE YAIBWAGA SIMBA

Kikosi cha timu ya Yanga kimeweza kuishusha timu Simba na kufikisha pointi 29 baada ya kuwafunga Mwadui FC mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa uwanja wa CCM Kambarage.

Na kwamatokeo hayo Yanga wamefanikiwa kuendeleza rekodi yao kwa kucheza michezo 11 bila kupoteza.

Mabao ya Yanga yamefungwa na mshambuliaji Herieter Makambo na Mrisho Ngasa akifunga bao la pili la ushindi.

Yanga wamecheza leo bila ya kuwa na wachezaji wao kama Ibrahim Ajibu, Kelvin Yondani, Beno Kakolanya na Papy Tshishimbi.

LihatTutupKomentar