Mchezo Ulikua wa kasi pande zote mbili zikitafuta bao lakini juhudi zaohazikuzaa matuta hadi dakika 90 zinamalizika KK HOMEBOYS 0-0 SIMBA
Nakuelekea katika changamoto ya mikwaju ya Penati Kama ifuatavyo
Allan WA Homeboys anafunga penati ya Kwanza
Haruna Niyonzima anafunga penati Upande wa Simba
KK Homeboys 1 – 1 Simba
Homeboys wanapata penati yao ya Pili
Erasto Nyoni anafunga penati upande wa Simba
KK Homeboys 2 – 2 Simba
Wafula wa Homeboys anafunga penati ya 3 ya Homeboys
Shomari Kapombe anafunga penati kwa Simba
KK Homeboys 3 – 3 Simba
Esiye anafunga upande wa KakamegaHomeboys
Shiza Kichuya anafunga upande wa Simba
KK Homeboys 4 – 4 Simba
Opondo wa Kakamega anakosa Penati ya Mwisho
Jonas Mkude anafunga penati
KK Homeboys 4 – 5 Simba, Simba wanaingia Fainali ya Sportpesa Super Cup
Nakuelekea katika changamoto ya mikwaju ya Penati Kama ifuatavyo
Allan WA Homeboys anafunga penati ya Kwanza
Haruna Niyonzima anafunga penati Upande wa Simba
KK Homeboys 1 – 1 Simba
Homeboys wanapata penati yao ya Pili
Erasto Nyoni anafunga penati upande wa Simba
KK Homeboys 2 – 2 Simba
Wafula wa Homeboys anafunga penati ya 3 ya Homeboys
Shomari Kapombe anafunga penati kwa Simba
KK Homeboys 3 – 3 Simba
Esiye anafunga upande wa KakamegaHomeboys
Shiza Kichuya anafunga upande wa Simba
KK Homeboys 4 – 4 Simba
Opondo wa Kakamega anakosa Penati ya Mwisho
Jonas Mkude anafunga penati
KK Homeboys 4 – 5 Simba, Simba wanaingia Fainali ya Sportpesa Super Cup